WABUNGE WA YANGA WAIFUNGA TIMU YA WABUNGE WA SIMBA KWA PENATI 4-3
![]() |
| Mgeni wa rasmi wa tamasha la matumaini Raisi Jakaya Kikwete akiongozana na marefa kuingia uwanjani tayari kukagua timu za wabunge wa Simba na Yanga |
![]() |
| Wimbo wa taifa |
![]() |
| JK akisalimiana na timu ya wabunge wa Simba |
![]() |
| Mgeni rasmi akisalimiana na upande wa wabunge wa Yanga |
![]() |
| Wabunge wa timu ya Yanga wwakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe kwa kuifunga timu ya wabunge wa Simba kwa penati 4-3. |
BONGO FLEVA WAIKUNG'UTA TENA BONGO MOVIE KWENYE TAMASHA LA MATUMAINI
![]() |
| Bongo Movie kushoto na Bongo Flava kulia wakiiimba wimbo wa taifa kabla ya kuanza mechi |
![]() |
| Godi Muhokozi wa timu ya Bongo flava akishangilia goli alilolifunga katika kipindi cha kwanza. Pembeni yake ni msanii Abdul Kiba |
![]() |
| Msanii wa Wanaume Halisi KR-Mula akishangilia na washabiki wa Bongo Flava..timu hiyo ilishinda 2-0 dhidi ya Bongo movie katika mikwaju ya penati. |
![]() |
| Mbunge wa Sengerema Mh. William Ngeleja akimkabidhi kombe la ushindi nahodha wa timu ya Bongo Flava msanii H-Baba. |











0 comment.:
Post a Comment