
Ili kuweza kupata udhamini huo kumeandaliwa kipindi cha majaribio ya kurusha baadhi ya mechi za ligi msimu huu kupitia Supersport - ambacho kimepewa jina la "Supersport week in Tanzania".
Supersport kupitia majaribio hayo wataonyesha mechi zifuatazo: Azam vs JKT Ruvu tarehe 28 mwezi huu, Simba vs Tanzania Prisons tarehe 29/9, African Lyon vs Yanga tarehe 30/9, na mechi watani wa jadi Simba vs Yanga ya tarehe 3/10 - mechi hizi zote zitaonyeshwa live huku mechi ya mwisho ya Mtibwa na Ruvu itakuwa imerekodiwa.
Baada ya majaribio hayo kuna asilimia kubwa ligi kuu ya msimu ujao wa 2013/14 ikaanza kuonyeshwa na kituo hicho maarufu barani Afrika.
0 comment.:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.