Thursday, March 14, 2013

11:07 PM
Mabingwa wa Ulaya na dunia Spain wameendelea kubaki nafasi ya kwanza kwenye viwango vya FIFA mwezi huu, wakati timu ya taifa ya Tanzania ikipanda kwa pointi nane zaidi, huku Afghanistan wakipanda mpaka kwenye nafasi ya 48 kutoka 141, baada ya kushinda mechi kadhaa kwenye AFC Challenge Cup.

Spain wanawaongoza Germany, Argentina, England na Italy. Colombia wapo nafasi ya sita huku Ureno wakishuka mpaka nafasi ya saba.

Pamoja na kubeba ubingwa Afrika, Nigeria bado haijapita Ivory Coast, huku ikishuka kidunia mpaka nafasi ya 13.



Msimamo ubora wa kidunia ukionyesha Tanzania impanda kwa nafasi nane


Rekodi za Tanzania kutoka mwaka 2010


Tanzania inashika nafasi ya 33 kwa ubora Africa katika Afrika Mashariki ikiwa imepitwa na Uganda pekee wanaoshika nafasi ya 22.



0 comment.:

Post a Comment